Android 13 Beta 1 sasa inapatikana kwa baadhi ya simu za Pixel

Mwandishi Alexander Nkwabi
Google wameachia toleo jipya mfumo endeshi wa Android 13 Beta 1 siku ya Jumanne kwa baadhi ya simu za Pixel kwa ajili ya ma developer na watu wengine kuufanyia majaribio kabla sasisho la mwisno halijatoka. Hadi sasa Google wamesema toleo hili la Android 13 litajikita zaidi katika kuboresha faragha na usalama.

 

 

Mwandishi Alexander Nkwabi Mhariri
Mitandao ya Kijamii
Alex ni mhariri mwandamizi hapa Mtaawasaba.com, kwa kipindi kirefu amekuwa akivutiwa na mfumo endeshi wa Android na michezo ya kompyuta. Alex akiwa haandiki hapa Mtaawasaba basi hupendelea kupiga picha, kusafiri na kusoma vitabu.
Maoni yako

Trending on Mtaawasaba

Receive Mtaawasaba notifications Click ‘Receive,’ then ‘Allow’ when prompted. Dismiss Receive