MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Simu
  • Uchambuzi
    • Kompyuta
    • Mfumo endeshi
      • Android
      • iOS
      • Windows
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Makala
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Uchambuzi
  • kompyuta
  • Maujanja
  • Apps
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Makala
    • Uchambuzi
    • Apps
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Matukio
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
    • Utamaduni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • intaneti
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • vifurushi visivyo rasmi
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Imeandikwa na Mtaawasaba Miezi 2 iliyopita
Sambaza
Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Mtu tajiri zaidi duniani na mmiliki wa Twitter, Bilionea Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple, kampuni kubwa zaidi ya teknolojia duniani.

Elon Musk ameishutumu Apple katika tweets zake nyingi za hivi karibuni kuhusu mazoea ya ukiritimba na udhibiti. Musk alidai kuwa kampuni hiyo ilisitisha matangazo kwenye mtandao wa Twitter na kuhoji ikiwa Apple na Mkurugenzi Mtendaji wake Tim Cook wanachukia uhuru wa kujieleza nchini Marekani.

Unaweza Kusoma

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023

Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2: Kwa ajili ya simu bora za Android 2023 yazinduliwa

Apple inakabiliwa na kesi ya kukusanya taarifa kwenye simu za iPhone bila idhini

Apple pia imetishia kuzuia Twitter kutoka kwa duka lake la App, lakini haitatuambia sababu. – Elon Musk

Musk alituma ujumbe Twitter akitoa sababu ya ukosoaji wake wa hivi karibuni. Hata hivyo, Apple hawajajajibu hata mara moja kwenye tweet yoyote ya Musk.

Zaidi ya hayo, Musk pia alidai kuwa ada ya 30% ambayo Apple huchukua kutoka kwa mauzo mengi kupitia duka la App la kampuni hiyo. Katika tweet iliandikwa, “lipa 3% au nenda vitani” na gari kuchagua njia ya gobtobwar.

Pia Musk amekosoa kodi ya 30% inayotozwa na duka la programu la Apple kuwa ni kubwa kupita kiasi. Sio Musk peke yake ambaye amelalamikia hili kwani, kuna mzozo wa kisheria unaoendelea kati ya msanidi programu wa mchezo wa video wa ‘Fornite’ Epic Games.

Hii sio mara ya kwanza Musk kukosoa duka la programu ya Apple hapo awali, mnamo Mei Musk alisema ada ya 30% ilikuwa “mara 10 zaidi kuliko inavyopaswa kuwa”.

Miongozo inayutuiwa kwenye duka la programu la Apple inayolalamikiwa na Musk ilipelekea kufungiwa kwa program za Discord, Tumblr na zingine zenye maudhui ya kutatanisha (hasa ya kikubwa) mpaka hapo zitalipoondoa maudhui yenye utata. Hata hivyo Twitter inaendelea kuwa na maudhui ya kikubwa, na hii inaweza kuwa sababu mojawapo ya kuondolewa kwa programu ya Twitter.

Katika miongozo yake rasmi ya ukaguzi wa duka la programu, Apple inaorodhesha vigezo mbalimbali vya usalama ambavyo programu lazima zizingatie ili zijumuishwe dukani, ikiwa ni pamoja na uwezo wa kuzuia “maudhui ambayo ni ya kukera, yasiyofaa, ya kukasirisha, yaliyokusudiwa kuchukiza, pia itatakiwa kuzuia mamb kama vile matamshi ya chuki, picha za ngono na ugaidi. “Ikiwa unatafuta kuwashtua na kuwaudhi watu, Duka la App sio mahali sahihi kwa programu yako,” miongozo hiyo inasema.

KWENYE Apple, Elon Musk, Twitter
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Acha Ujumbe

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 2 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 2 iliyopita
Sasa unaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp

Sasa watumiaji wa Android na iOS wanaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp

Miezi 2 iliyopita
Ramani, Kampuni kutoka Tanzania yakusanya $32m

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Miezi 2 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi

Removed from reading list

Undo
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?