Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi
Mtandao maarufu wa kijamii,Instagram, umetangaza rundo la vipengele vipya kwa watumiaji wa Android. Kampuni mama ya Instagram, Meta, ilitangaza katika…
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads
Ni mwaka mmoja tangu kuungurama kwa kesi kati ya kampuni Michezo ya Epic Games dhidi ya Apple kuhusu duka lake…
Sasa watumiaji wa Android na iOS wanaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp
Sasa unaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp kwani programu hii imeachia kipengele kipya chenye jina ‘Message Yourself’ kitakachokuwezesha kujitumia Ujumbe Mwenyewe…
Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple
Mtu tajiri zaidi duniani na mmiliki wa Twitter, Bilionea Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple, kampuni kubwa zaidi ya…
Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji
Ramani, kampuni yenye makao makuu yake nchini Tanzania, imejikita kwenye kujenga mtandao wa vituo vidogo vya usambazaji wa bidhaa zenye…
Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022
Kuanzia teknolojia ya ugunduzi wa offside kwa kutumia AI hadi msaada kwa mashabiki wasioona, hapa tunakuletea kila teknolojia itakayotumika kwenye…
Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023
Kampuni ya Starlink inayotoa huduma za intaneti kupitia satelite, yenye makao makuu yake makuu huko Hawthorne, California, inatarajiwa kuanza kutoa…
Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2: Kwa ajili ya simu bora za Android 2023 yazinduliwa
Qualcomm imetangaza rasmi kuachia kizazi cha pili cha prosesa zake zenye uwezo mkubwa kwa vifaa vya rununu. Qualcomm Snapdragon 8…
Apple inakabiliwa na kesi ya kukusanya taarifa kwenye simu za iPhone bila idhini
Apple inakabiliwa na kesi ya kukusanya taarifa kwenye simu za iPhone bila idhini, wakati huu kutokana na madai kuwa inafuatilia…
Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka
Ni siku chache tangu Meta kutangaza kuwa itapunguza wafanyakazi takribani 11,000 ambao ni sawa na asilimia 13 ya wafanyakazi wote…