Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi
Mtandao maarufu wa kijamii,Instagram, umetangaza rundo la vipengele vipya kwa watumiaji wa Android. Kampuni mama ya Instagram, Meta, ilitangaza katika…
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads
Ni mwaka mmoja tangu kuungurama kwa kesi kati ya kampuni Michezo ya Epic Games dhidi ya Apple kuhusu duka lake…
Sasa watumiaji wa Android na iOS wanaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp
Sasa unaweza kujitumia ujumbe kupitia WhatsApp kwani programu hii imeachia kipengele kipya chenye jina ‘Message Yourself’ kitakachokuwezesha kujitumia Ujumbe Mwenyewe…
Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple
Mtu tajiri zaidi duniani na mmiliki wa Twitter, Bilionea Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple, kampuni kubwa zaidi ya…
Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji
Ramani, kampuni yenye makao makuu yake nchini Tanzania, imejikita kwenye kujenga mtandao wa vituo vidogo vya usambazaji wa bidhaa zenye…
Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.
Muonekano wa iCloud kwa muda sasa umeonekana kupitwa na wakati, huku ukiwa na muonekano wa maleo ya nyuma ya iOS.…
Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023
Kampuni ya Starlink inayotoa huduma za intaneti kupitia satelite, yenye makao makuu yake makuu huko Hawthorne, California, inatarajiwa kuanza kutoa…
Meta kusitisha bidhaa zake za Portal na kufuta saa janja 2 ambazo hazijatoka
Ni siku chache tangu Meta kutangaza kuwa itapunguza wafanyakazi takribani 11,000 ambao ni sawa na asilimia 13 ya wafanyakazi wote…
Sasa itagharimu Dola 8 kwa mwezi kupata alama ya uthibitisho Twitter
Siku chache tu baada ya Elon Musk kukamilisha dili la umiliki wa mtandao wa kijamii wa Twitter, Bilionea Elon Musk…
Elon Musk hatimaye awa mmliki mpya wa Twitter, afuta kazi watendaji wakuu
Baada ya vuta nikuvute kwa miezi kadhaa, hatimaye mchakato wa ununuzi wa Twitter umekamilika na bilionea Elon Musk amechukua udhibiti…