Tumepata matokeo 262 kuhusu unachokitafuta
Sasa unaweza kuhariri ujumbe wa WhatsApp baada ya kutuma
WhatsApp sasa itaruhusu watumiaji kuhariri ujumbe baada ya kutuma, kipengele hiki sio kipya kwani kinapatikana kwenye programu zingine za ujumbe,…
Tanzania kujenga satelaiti yake
Leo Mei 18,2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa, Serikali ya Tanzania kujenga…
YouTube kuongeza nguvu kuzuia wanaotumia Ad Blocker
YouTube kuongeza nguvu kuzuia wanaotumia Ad Blocker ku-block matangazo ya YouTube. Taarifa hii ilianza kusambaa kwa mara ya kwanza na mtumiaji wa…
Vifurushi vya DStv Tanzania (2024)
Gharama Za Vifurushi Vya DSTV Tanzania 2023 DStv Tanzania inatoa vifurushi vinavyolingana na mahitaji yako maalum, kuhakikisha kuwa unaweza kubadilisha…
Pixel Fold: Simu ya kwanza inayojikunja kutoka Google yatangazwa
Sasa ni rasmi. Pixel Fold ni kweli inakuja. Baada ya miezi kadhaa ya uvumi, Google siku ya Alhamisi iliandika kuhusu…
Kituo cha kwanza cha kuchaji magari ya umeme Tanzania chazinduliwa
Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu ya Maendeleo (UNDP) nchini Tanzania limezindua Kituo cha kwanza cha kuchaji magari ya…
iOS 17 inaripotiwa kuleta mabadiliko makubwa kwenye Control Center
Kwa mujibu wa mtumiaji mmoja wa jukwaa la MacRumors forum amedai kwamba iOS 17 inaripotiwa kuleta mabadiliko makubwa kwenye Control…
NALA yapata leseni ya kutoa Huduma za Malipo Tanzania. Kuwekeza zaidi ya bilioni 2
NALA ambayo ni kampuni ya huduma za kutuma na kupokea fedha kwa njia ya kidigitali yenye makao yake makuu nchini…
Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook
Mkurugenzi Mtendaji wa Meta Mark Zuckerberg ametangaza leo kuwa kampuni ya Meta imeanza kutoa huduma ya uthibitisho (blue tick) ya…
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania
Leo tarehe 16, Februari 2023 kampuni ya huduma za mawasiliano ya Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za…