Tumepata matokeo 262 kuhusu unachokitafuta
Waliojitangaza kutoa huduma ya Starlink wakamatwa Dar-Es-Salaam
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam likishirikiana na kikosi kazi maalum cha kuzuia na kupambana na makosa…
Android 15 inakuja na uwezo wa kutuma ujumbe kwa satelaiti, NFC iliyoboreshwa na zaidi…
Google hivi karibuni imetoa toleo la pili la Android 15 kwa wasanidi wa programu, katika toleo hili tunaona vipengele mbalimbali…
Accelerate Africa na AIM StartUps wazindua mashindano ya StartUps, Tanzania
Accerelate Africa Tanzania kwa ushirikiano na AIM Startups, Jumatano hii wamezindua mashindano ambapo startups zitachuana ili kushinda tiketi ya kuhudhuria…
Universal Music Group kuondoa nyimbo zake TikTok
Kampuni inayosimamia kazi za wasanii mbalimbali duniani ya Universal Music Group imeamua kuondoa mamilioni ya nyimbo kutoka TikTok baada ya…
Neuralink yatangaza upandikizaji wa kwanza katika ubongo wa binadamu
Neuralink, kampuni ya Elon Musk imefanikiwa kupandikiza chip kwa binadamu wa kwanza jumapili hii, Bilionea Musk alitangaza kupitia mtandao wake…
Kila kitu unachotakiwa kujua kuhusu Samsung Galaxy Watch 6 na Classic.
Katika onesho la pili la Galaxy Unpacked la mwaka huu, #Samsung imerudisha rasmi mduara unaozunguka kwenye saa janja mpya iliyozinduliwa…
Samsung yazindua simu za Galaxy Z Fold 5 na Galaxy Z Flip 5
Samsung imezindua bidhaa kadhaa kwenye tukio lake la pili la Galaxy Unpacked la mwaka 2023, ikiwa ni pamoja na simu…
Twitter yabadili nembo yake na kuwa X, kuashiria uelekeo mpya
Twitter imeondoa nembo iliyozoeleka yenye picha ya ndege wa bluu na kupitisha nembo mpya yenye alama 'X' kama nembo yake…
Sasa Programu ya ChatGPT kupatikana na watumiaji wa Android
OpenAI kampuni nyuma ya programu saidizi ya akili bandia imetangaza kuwa itatoa programu ya ChatGPT kwa watumiaji Android. Programu hiyo…