Kununua kompyuta iwe laptop au desktop huwachanganya watu wengi hasa wasiokuwa na uzoefu wa vifaa hivi maana ukifika dukani utakuta za kila namna na miundo tofauti, nimeona niandike makala hii kuwasaidia wale wanunuaji wapya wapate muongozo ili angalau wanapokwenda dukani wajue wanataka nini.
Matumizi
Unapotaka kununua kompyuta, jambo la kwanza ni kujua unataka kwa ajili ya matumizi yapi? kuna watumiaji ambao wao ni kufungua facebook, kusoma barua pepe tu na kutype kazi zake ndogo ndogo hawa wanahitaji pc zisizo na specification kuubwa, kuna ambao wanafanya photoshoping, video editing hawa wanahitaji mashine zenye option kubwa za multimedia.
Bei
Hapa ndo uwa patamu maana, utakuta mtu anataka kompyuta yenye specification kuubwa mfano ram Gb 6, au processor quad core, hard disk %00 GB kuendelea halafu anakwambia ana laki sita, kama huna hela ya kutosha sio tatizo, unaeza ku upgrade kidogo kidogo baadae ukipata hela, mfano nunua ram gb1 then baadae utaongeza mpaka zifike hata 6 kama mashine inaruhusu, au hard disk kama ni ndogo unaweza nunua kisha siku za baadae ukaongeza.
Mfumo Endeshi
Angalia minimum requirement ya hiyo kompyuta unayonunua, mara nyingi uwa imeoneshwa kuwa hiyo pc imedesgniwa kwa ajili ya operating system gani, zipo kwa ajili ya ubuntu, zipo windows xp, 7, 8 etc
Ukubwa wa umbo
Baadhi ya watu kama mimi napenda skrini kubwa kama desktop haina kuanzia inch 22 au laptop ianzie inc 15 uwa sina raha maana mimi ni mpenzi wa movies na games, jambo la muhimu ni kuwa skirini kubwa ni nzuri kwa wale wenye macho yenye udhaifu. ila kuna ambao wanapenda vile vidogo vidogo labda kwa sababu ni rahisi kubeba nakadhalika.
Matundu
Kutokana na mahitaji yako, angalia kompyuta ambayo itafaa ukiwa umeweka flash pia unaweza kuweka modem, printer nakadhalika, siku hizi kuna hdmi connection, kuna usb 2 na usb 3 ports, matundu ya internet connection
Jina
Baadhi ya watu kwa sababu moja au nyingine atakwambia amnapenda HP au Dell au Samsung au Toshiba, mfano unaponunua pc ya Hp au samsung unapewa warant ikizingia unaweza irudisha ukatengenezewa au ukapewa mpya,
Hard Disk
kwa watumiaji wa kawaida sio tatiuzo sana hii, ila kwa watumiaji wakubwa{wale wanopenda kudownload softwares mfano adobe suit uwa zina mpaka 5GB} wale wapenzi wa kudownload movies, gaming , na wengineo wanahitaji hard disk kubwa. Magwiji wa komyuta huulizia SATA au SCSI drives
RAM/Memory
Kwa watumiaji wadogo sio ishu sana hii, hata ram ya 2Gb ni kubwa kutosha matumizi ytake yoote. Ila watumiaji wakubwa hasa wale professionals wangependa kutumia kuanzia 4 – 6 GB. pia operating systems kama windows 32bit na 64bit zina minimum requirements za Ram itakayotumika kuziendesha.wataalam wa komyuta wenyewe wakati wa manunuzi huulizia DDR2 au DDR3
Prosesa
Kuna tofauti kubwa sana kati ya processor za single core kama pentium processors, duo-core, na quad core processors,
Kwa mtumiaji wa kawaida PC yenye processor za intel i3 inamtosha saaana
watumiaji wa kati i5 itafaaa ila kwa wale maguru i7 ndio ya kwao
Waranti
Kama utanunua kifaa chako kutoka katika maduka au mawakala wa hicho kifaa wanaofahamika utapata waranti ambayo itasaidia wewe mtumiaji kupata msaada kifaa kitakapopata matatizo mfano battery ikizingua kama hujaiharibu mwenyewe unaweza kubadilishiwa ukapewa ingine na kadhalika.
Kwa leo tuishie hapa, kama umepata chochote hapa, Gonga Like, maswali, michango mingine yoyote inakaribishwa
Accelerate Africa na AIM StartUps wazindua mashindano ya StartUps, Tanzania
Accerelate Africa Tanzania kwa ushirikiano na AIM Startups, Jumatano hii wamezindua mashindano…
Kituo cha kwanza cha kuchaji magari ya umeme Tanzania chazinduliwa
BasiGo imekusanya dola milioni 6.6 kuleta mabasi ya umeme Kenya
Google I/O 2022: Pixel 6a, Pixel Watch, na kila kitu kilichotangazwa leo
Samsung yazindua simu za Galaxy Z Fold 5 na Galaxy Z Flip 5
Sasa Programu ya ChatGPT kupatikana na watumiaji wa Android
Windows Copilot inachukua nafasi ya Cortana kama ‘msaidizi wa kibinafsi’ wa AI kwenye Windows 11
Sasa unaweza kuhariri ujumbe wa WhatsApp baada ya kutuma
YouTube kuongeza nguvu kuzuia wanaotumia Ad Blocker
Duka la dawa la mtandaoni la Kenya MYDAWA lakusanya $20m, lanunua maduka ya dawa Uganda
Samsung yaachia tableti tatu za Galaxy Tab S9, maboresho kidogo ila bei imechangamka
Simu zinazotumia Blackberry OS kuacha kufanya kazi kuanzia Januari 4
Android 13 Beta 1 sasa inapatikana kwa baadhi ya simu za Pixel
Apple wazindua iOS 17; Journal app, maboresho ya Autocorrect, na zaidi
Machapisho Mapya
Universal Music Group kuondoa nyimbo zake TikTok
Kampuni inayosimamia kazi za wasanii mbalimbali duniani ya Universal Music Group imeamua kuondoa mamilioni ya…
Neuralink yatangaza upandikizaji wa kwanza katika ubongo wa binadamu
Neuralink, kampuni ya Elon Musk imefanikiwa kupandikiza chip kwa binadamu wa kwanza jumapili hii, Bilionea…
Kila kitu unachotakiwa kujua kuhusu Samsung Galaxy Watch 6 na Classic.
Katika onesho la pili la Galaxy Unpacked la mwaka huu, #Samsung imerudisha rasmi mduara unaozunguka…
Twitter yabadili nembo yake na kuwa X, kuashiria uelekeo mpya
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania
Leo tarehe 16, Februari 2023 kampuni ya huduma za mawasiliano ya Airtel yawa ya kwanza…
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi
Mtandao maarufu wa kijamii,Instagram, umetangaza rundo la vipengele vipya kwa watumiaji wa Android. Kampuni mama…
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads
Ni mwaka mmoja tangu kuungurama kwa kesi kati ya kampuni Michezo ya Epic Games dhidi…
Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple
Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022
Kuanzia teknolojia ya ugunduzi wa offside kwa kutumia AI hadi msaada kwa mashabiki wasioona, hapa…
Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.
Muonekano wa iCloud kwa muda sasa umeonekana kupitwa na wakati, huku ukiwa na muonekano wa…
Starlink kuanza kutoa huduma za intaneti Tanzania robo ya kwanza 2023
Kampuni ya Starlink inayotoa huduma za intaneti kupitia satelite, yenye makao makuu yake makuu huko…