WhatsApp inaweka muonekano mpya kwenye Audio call

Alexander Nkwabi Maoni 617
WhatsApp inaweka muonekano mpya kwenye Audio call, kupitia akaunti ya WaBetaInfo wametangaza kufanya maboresho mbalimbali ya programu hiyo tumishi kwa upande wa toleo la majaribio upande Android na iOS kitu ambacho hivi sasa kimeanza kuonekana kwa watu wachache (beta testers).

Kwa mujibu wa ripoti, watumiaji wa WhatsApp ya Android toleo la beta 2.22.5.4 wanaweza kuona mabadiliko haya kwa upande wa audio call. na watumiaji wachache wa toleo la beta 2.22.5.3 nao wanaweza ona mabadiliko haya.

Mabadiliko haya yalianza kuonekana kwa mara ya kwanza mwezi disemba na ilikuwa ni kwa watumiaji wote wa android na ios. Imeleta muonekano mpya na wa kuvutia zaidi kwa watumiaji.

whatsapp android beta new voice calling interface screenshot wabetainfo WhatsApp

 

Mwandishi Alexander Nkwabi Mhariri
Mitandao ya Kijamii
Alex ni mhariri mwandamizi hapa Mtaawasaba.com, kwa kipindi kirefu amekuwa akivutiwa na mfumo endeshi wa Android na michezo ya kompyuta. Alex akiwa haandiki hapa Mtaawasaba basi hupendelea kupiga picha, kusafiri na kusoma vitabu.
Maoni yako
Receive Mtaawasaba notifications Click ‘Receive,’ then ‘Allow’ when prompted. Dismiss Receive